12 lines
566 B
Markdown
12 lines
566 B
Markdown
# Nira
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Nira ni kipande cha mbao au chuma kinachowekwa kwa wanyama wawili au zaidi ili kuwaunganisha kwa ajili ya lengo la kuvuta plau au gari.
|
|
|
|
* Pia nira imetumika kuelezea kitu kilichowaunganisha watu kwa ajili ya lengo la kufanya kazi pamoja kwa mfano kumtumikia Yesu.
|
|
* Paulo anatumia neno "mjoli" kumaanisha mtu anayemtumikia Yesu kama alivyo.
|
|
* Neno "nira" pia linaweza kutumika kama mzigo mzito ambao mtu anaubeba kwa mfano anayetumikishwa utumwani au kwenye mateso.
|
|
* Namna nyingine ya kutafsiri neno hili waweza kutumia neno "mzigo mzito".
|
|
|