566 B
566 B
Nira
Ufafanuzi
Nira ni kipande cha mbao au chuma kinachowekwa kwa wanyama wawili au zaidi ili kuwaunganisha kwa ajili ya lengo la kuvuta plau au gari.
- Pia nira imetumika kuelezea kitu kilichowaunganisha watu kwa ajili ya lengo la kufanya kazi pamoja kwa mfano kumtumikia Yesu.
- Paulo anatumia neno "mjoli" kumaanisha mtu anayemtumikia Yesu kama alivyo.
- Neno "nira" pia linaweza kutumika kama mzigo mzito ambao mtu anaubeba kwa mfano anayetumikishwa utumwani au kwenye mateso.
- Namna nyingine ya kutafsiri neno hili waweza kutumia neno "mzigo mzito".