12 lines
393 B
Markdown
12 lines
393 B
Markdown
# Neno
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Neno ni kitu ambacho mtu husema.
|
|
|
|
* Kwa mfano wakati ambao malaika alimwambia Zakaria "hauamini maneno yangu," alikuwa na maana ya kuwa "huamini nilichokisema."
|
|
* Neno humaanisha ujumbe mzima na sio neno moja.
|
|
* Kwenye Biblia neno ni kilakitu alichosema Mungu au kuamuru, "neno la Mungu" au "neno la kweli."
|
|
* Matumizi ya pekee ya neno ni wakati Yesu anapoitwa "neno."
|
|
|