393 B
393 B
Neno
Ufafanuzi
Neno ni kitu ambacho mtu husema.
- Kwa mfano wakati ambao malaika alimwambia Zakaria "hauamini maneno yangu," alikuwa na maana ya kuwa "huamini nilichokisema."
- Neno humaanisha ujumbe mzima na sio neno moja.
- Kwenye Biblia neno ni kilakitu alichosema Mungu au kuamuru, "neno la Mungu" au "neno la kweli."
- Matumizi ya pekee ya neno ni wakati Yesu anapoitwa "neno."