10 lines
475 B
Markdown
10 lines
475 B
Markdown
# Tapanya, nyika
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kutapanya kitu ni kukitupa au kutokukitumia kwa hekima. Nchi ambayo ni nyika ni nchi au mji ulioharibiwa ili kitu chochote kisiishi ndani yake tena.
|
|
|
|
* "Kuchakaa" inamaana ya kuwa na ugonjwa au kuharibiwa. Mtu aliyechakaa maranyingi anakuwa mwembamba kutokana na ugonjwa au kukosa chakula.
|
|
* Neno lingine linalomaanisha nyika nin jangwa. Lakini nyika pia inamaanisha kuwa watu waliishi hapo na nchi ilikuwa na miti na mimea inayotoa chakula.
|
|
|