11 lines
297 B
Markdown
11 lines
297 B
Markdown
# Bikira
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Bikira ni mwanamke ambaye hajawahi kuwa na mahusiano ya ngono.
|
|
|
|
* Nabii Isaya alisema kuwa Masihi atazaliwa na bikira.
|
|
* Mariamu alikuwa Bikira alipokuwa na mimba ya Yesu. Yesu hakuwa na baba wa kibinadamu.
|
|
* Lugha nyingine zaweza kuwa na neno zuri badala ya neno bikira.
|
|
|