Bikira
Ufafanuzi
Bikira ni mwanamke ambaye hajawahi kuwa na mahusiano ya ngono.
- Nabii Isaya alisema kuwa Masihi atazaliwa na bikira.
- Mariamu alikuwa Bikira alipokuwa na mimba ya Yesu. Yesu hakuwa na baba wa kibinadamu.
- Lugha nyingine zaweza kuwa na neno zuri badala ya neno bikira.