11 lines
372 B
Markdown
11 lines
372 B
Markdown
# unyofu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Neno "unyofu" ueleza kutenda kwa namna inayo fuata sheria za Mungu.]
|
|
|
|
* Maana ya hili neno ni pamoja kusimama wima na kuangalia mbele.
|
|
* Mtu aliye "mnyofu" ni mtu anaye tii maagizo ya Mungu na hafanyi vitu vilivyo nje ya mapenzi yake.
|
|
* Maneno kama "uadilifu" na "haki" yana maana moja na wakati mwingine utumika sambamba kama "audilifu na haki."
|
|
|