372 B
372 B
unyofu
Ufafanuzi
Neno "unyofu" ueleza kutenda kwa namna inayo fuata sheria za Mungu.]
- Maana ya hili neno ni pamoja kusimama wima na kuangalia mbele.
- Mtu aliye "mnyofu" ni mtu anaye tii maagizo ya Mungu na hafanyi vitu vilivyo nje ya mapenzi yake.
- Maneno kama "uadilifu" na "haki" yana maana moja na wakati mwingine utumika sambamba kama "audilifu na haki."