826 B
826 B
kinyume cha sheria
Ufafanuzi
Maneno "kinyume cha sheria" na "sio kisheria" yanatumika kueleza matendo yanayo vunja sheria.
- Katika Agano Jipya, neno "kinyume cha sheria" sio tu la tumika kueleza kuvunja amri ya Mungu, bali pia kuvunja sheria za Kiyahudi.
- Baada ya miaka, Wayahudi waliongeza kwenye sheria Mungu alizowapa. Viongozi wa Kiyahudi waliita kitu "kinyume cha sheria" kama hakikuendana na sheria zao wao.
- Yesu na wanafunzi wake walipo kuwa wana nyofoa nafaka siku ya Sabato, Mafarisayo waliwashtaki kufanya "kinyume cha sheria" kwasababu ilikuwa ina vunja sheria za Wayahudi za kutofanya kazi hiyo siku.
- Wakati Petro alipo sema kula chakula najisi ni "kinyume cha sheria" kwake, alimaanisha kama angekula vyakula angekuwa na vunja sheria Munug alizo wapa Waisraeli kuhusu kuto kula baadhi ya vyakula.