14 lines
767 B
Markdown
14 lines
767 B
Markdown
# chafu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Katika Biblia, neno "chafu" utumika kama fumbo kueleza vitu ambavyo Mungu alitangaza sio sahihi kwa watu wake kugusa,kula, au kutoa dhabihu.
|
|
|
|
* Mungu aliwapa Waisraeli maelekezo kuhusu mnyama yupi alikuwa "msafi" na yupi alikuwa "mchafu." Wanyama wachafu hawakuruhusiwa kutumika kula au kutolea dhabihu.
|
|
* Watu wenye aina fulani ya ugonjwa wa ngozi walisemekana kuwa "wachafu" mpaka walipo ponywa.
|
|
* Waisraeli kama walipo shika kitu "kichafu" wao wenyewe walihesabika kuwa wachafu kwa kipindi cha muda fulani.
|
|
* Kutii amri za Mungu kuhusu kutogusa au kula vitu vichafu kuliwatenga Waisraeli kwa huduma ya Mungu.
|
|
* Hii hali ya uchafu wa mwili na mila ilikuwa ishara ya uchafu wa kijamii.
|
|
* Maana nyingine ya fumbo, "roho chafu" ina eleza pepo.
|
|
|