11 lines
437 B
Markdown
11 lines
437 B
Markdown
# kinywaji kikali
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Neno "kinywaji kikali" ina eleza vinywaji vilivyo zindikwa na vina vilevi.
|
|
|
|
* Vinywaji vya vilevi utengenezwa na nafaka au matunda na vimepitia njia ya kuzindikwa.
|
|
* Aina ya "kinywaji kikali" ni mvinyo wa mzabibu, mvinyo wa mtende, bia. Katika Biblia, mvinyo wa mzabibu ndio unao tumika sana.
|
|
* Makuhani na mtu ye yote walio chukuwa kiapo maalumu kama "kiapo cha Naziri" hawaku ruhusiwa kunywa kilevi.
|
|
|