12 lines
502 B
Markdown
12 lines
502 B
Markdown
# gongo
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Ngo ni fimbo ndefu ya mbao, utumika kama fimbo ya kutembelea.
|
|
|
|
* Yakabo alipokuwa mzee, alitumia bakora kumsaidia kutembea.
|
|
* Mungu aligeuza gongo la Musa kuwa nyoka kuonyesha nguvu yake kwa Farao.
|
|
* Wachungaji pia walitumia gongo kusaidia kuongoza kondoo zao, au kuokoa kondoo walipo anguka au kupotea.
|
|
* Gongo la mchungaji lilikuwa na kishikio mwisho, kilicho kuwa tofauti na bakora ya mchungaji, lililo kuwa wima na lilitumika kuua wanyama waliyo jaribu kushambulia kondoo.
|
|
|