sw_tw/bible/other/staff.md

502 B

gongo

Ufafanuzi

Ngo ni fimbo ndefu ya mbao, utumika kama fimbo ya kutembelea.

  • Yakabo alipokuwa mzee, alitumia bakora kumsaidia kutembea.
  • Mungu aligeuza gongo la Musa kuwa nyoka kuonyesha nguvu yake kwa Farao.
  • Wachungaji pia walitumia gongo kusaidia kuongoza kondoo zao, au kuokoa kondoo walipo anguka au kupotea.
  • Gongo la mchungaji lilikuwa na kishikio mwisho, kilicho kuwa tofauti na bakora ya mchungaji, lililo kuwa wima na lilitumika kuua wanyama waliyo jaribu kushambulia kondoo.