477 B
477 B
zingira, kuzingira
Ufafanuzi
Neno "kuzingira" la husu pale jeshi shambulizi linapo zunguka mji na kuusababisha usiweze kupokea maitaji na maji. "Kuzingira" mji ina maana kusababisha mji kuwa chini ya kuzungukwa.
- Wakati Babiloni ilipo kuja kushambulia Israeli, walitumia mbinu ya kuzingira Yerusalemu kudhohofisha watu kwenye mji.
- Mara nyingi wakati wa kuzingira, mapande ya mchanga yana undwa taratibu kuwezesha jeshi shambulizi kuvuka kuta za mji na kuvamia mji.