691 B
691 B
Fimbo
Ufafanuzi
Fimbo hiki ni kifaa chembamba kama fimbo kinachotumika kwa njia mbali mbali.
- Fimbo ya mbao inatumiwa na mchungaji kuwalinda kondoo dhidi ya wanyama wengine. Pia kwa ajili ya kumrejesho katika kundi kondoo anayetangatanga.
- Katika Zaburi ya 23 mfalme Daudi anatumia maneno fimbo na gongo kuelezea mwongozo wa Mungu na nidhamu kwa watu wake.
- Fimbo ya mchungaji pia ilitumika kuhesabia mifugo.
- Pia fimbo ya chuma inaelezea adhabu ya Mungu kwa watu wanaomuasi na kufanya mambo maovu.
- Hapo kale fimbo za kupimia zilizotengenezwa kwa chuma au mbao zilitumika kupimia urefu wa majengo.
- Katika Biblia fimbo ya chuma inaelezea kifaa cha kumfundishia adabu mtoto.