|
# Heshima
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Heshima ni hisia za kumuheshimu mtu au kitu kwa hali ya juu.
|
|
|
|
* Hisia za heshima zinaweza kuonekana kwa vitendo vinavyompa heshima mtu anayepokea.
|
|
* Hofu ya Mungu ni heshima ya ndani inayojionesha yenyewe katika utii wa amri za Mungu.
|
|
|