12 lines
728 B
Markdown
12 lines
728 B
Markdown
# Kimbilio, malazi
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
"Kimbilio" ni sehemu au hali ya usalama na ulinzi. "Malazi" ni sehemu yenye muundo wa kimwili ambayo inakulinda kutokana na hali ya hewa au hatari.
|
|
|
|
* Katika Biblia Mungu anaelezwa kama kimbilio ambapo watu wake huwa salama na kupata ulinzi kwake.
|
|
* "Mji wa makimbilio" katika agano la kale ni miji ambayo mtu akiua kwa bahati mbaya hukimbilia huko kwa ajili ya usalama toka kwa watu wanaotaka kumvamia na kulipa kisasi.
|
|
* Malazi ni sehemu inayojengwa kama jengo ambalo laweza kutoa ulinzi kwa watu au wanyama.
|
|
* Mara nyinginge malazi humaanisha usalama. Lutu aliposema wageni wake wapo chini ya malazi ya paa lake alikuwa na maana kuwa walikuwa salama kwa sababu walikuwa kwenye nyumba yake.
|
|
|