12 lines
415 B
Markdown
12 lines
415 B
Markdown
# Kukemea
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kukemea ni kitendo cha kumrekebisha mtu ili kumsaidia mtu yule kuacha dhambi.
|
|
|
|
* Katika agano jipya linawaamuru Wakristo wawakemee waamini wengine wanapoacha kumtii Mungu.
|
|
* Katika kitabu cha Mithali kinaelekeza wazazi kuwakemea watoto wao wanapoacha kuwa watii.
|
|
* Kukemea ni kumzuia mtu aliyetenda dhambi asirudie tena kutenda dhambi.
|
|
* Kukemea pia kunaweza kutafsiriwa kama marekebisho.
|
|
|