415 B
415 B
Kukemea
Ufafanuzi
Kukemea ni kitendo cha kumrekebisha mtu ili kumsaidia mtu yule kuacha dhambi.
- Katika agano jipya linawaamuru Wakristo wawakemee waamini wengine wanapoacha kumtii Mungu.
- Katika kitabu cha Mithali kinaelekeza wazazi kuwakemea watoto wao wanapoacha kuwa watii.
- Kukemea ni kumzuia mtu aliyetenda dhambi asirudie tena kutenda dhambi.
- Kukemea pia kunaweza kutafsiriwa kama marekebisho.