10 lines
358 B
Markdown
10 lines
358 B
Markdown
# Chochea
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Neno "kuchochea" linamaanisha kumsababisha mtu apate hisia hasi.
|
|
|
|
* Kumchochea mtu kwenye hasira inamaanisha kufanya kitu kitakachosababisha mtu huyo apate hasira. Hii inaweza kutafsiriwa kama "kumsababishia mtu apate hasira."
|
|
* Unapokutana na maneno kama "usimchochee " maneno haya yaweza kutafsiriwa kama "usimsababishie hasira."
|
|
|