13 lines
409 B
Markdown
13 lines
409 B
Markdown
# Methali
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Methali ni sentensi fupi zinazoelezea hekima au kweli.
|
|
|
|
* Methali zina nguvu kwa sababu ni rahisi kukumbukwa na kurudiwa.
|
|
* Mara nyingi methali hujumuisha mifano ya maisha ya kila siku.
|
|
* Mithali nyingine zipo wazi na nyingine ni ngumu kuzielewa.
|
|
* Mfalme Sulemani alifahamika kwa hekima zake na aliandika mithali 1,000.
|
|
* Yesu pia alitumia mithali au mifano katika mafundisho yake.
|
|
|