12 lines
463 B
Markdown
12 lines
463 B
Markdown
# Kiburi
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kiburi ni hali ya mtu kujifikiria mwenyewe na kudhani kuwa yeye ni bora kuliko wengine.
|
|
|
|
* Mtu mwenye kiburi huwa hakubali makosa yake. Sio mnyenyekevu.
|
|
* Kiburi kinaweza kusababisha usimtii Mungu katika njia nyingine.
|
|
* Pia kiburi kinaweza kuelezwa katika mtazamo chanya kwa mfano "kujivunia" kwa kitu ambacho mtu fulani amefanikiwa au "kujivunia" watoto wako.
|
|
* Mtu anaweza kujivunia kwa alichokifanya bila kuwa na kiburi juu ya hilo.
|
|
|