463 B
463 B
Kiburi
Ufafanuzi
Kiburi ni hali ya mtu kujifikiria mwenyewe na kudhani kuwa yeye ni bora kuliko wengine.
- Mtu mwenye kiburi huwa hakubali makosa yake. Sio mnyenyekevu.
- Kiburi kinaweza kusababisha usimtii Mungu katika njia nyingine.
- Pia kiburi kinaweza kuelezwa katika mtazamo chanya kwa mfano "kujivunia" kwa kitu ambacho mtu fulani amefanikiwa au "kujivunia" watoto wako.
- Mtu anaweza kujivunia kwa alichokifanya bila kuwa na kiburi juu ya hilo.