805 B
805 B
Mkuu, Binti wa Mfalme
Ufafanuzi
Mkuu ni mtoto wa kiume wa mfalme. Binti wa mfalme ni mtoto wa kike wa mfalme.
- "mkuu" imetumika mara nyingi kumuelezea kiongozi, mtawala au mtu mwenye nguvu.
- Kwa sababu ya utajiri wa Abrahamu alielezewa kama mkuu kwa Wahiti aliokuwa akiishi kati yao.
- Katika kitabu cha Danieli neno "mkuu" limetumika kuelezea roho chafu zilizokuwa zinatawala maeneo kama "wakuu wa uajemu" na "wakuu wa ugiriki."
- Katika kitabu cha Danieli pia malaika mkuu Mikaeli anazungumwa kama Mkuu.
- Pia katika Biblia Shetani anazungumzwa kama "mkuu wa ulimwengu huu."
- Yesu anaitwa "Mkuu wa amani."
- Katika Matendo ya mitume 2:26 Yesu anafananishwa na "Bwana na Kristo" Pia katika matendo ya mitume 5:31 anafananishwa kama "Mkuu na mwokozi" kuonesha maana kati ya "Bwana" na "Mkuu."