13 lines
443 B
Markdown
13 lines
443 B
Markdown
# Kusifu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kumsifu mtu ni kuonesha pongezi au heshima kwa mtu yule.
|
|
|
|
* Watu wanamsifu Mungu kwa namna alivyo mkuu na kwa sababu ya mambo ya ajabu anayoyafanya kama muumbaji na mwokozi wa dunia.
|
|
* Kumsifu Mungu kunajumuisha kumshukuru kwa aliyoyafanya.
|
|
* Muziki na kuimba hutumiwa kama njia ya kumsifu Mungu.
|
|
* Kumsifu Mungu ni sehemu ya kumwabudu.
|
|
* Neno "kusifu" yaweza kutafsiriwa kama "kusema mazuri" au "kusifia kwa maneno."
|
|
|