443 B
443 B
Kusifu
Ufafanuzi
Kumsifu mtu ni kuonesha pongezi au heshima kwa mtu yule.
- Watu wanamsifu Mungu kwa namna alivyo mkuu na kwa sababu ya mambo ya ajabu anayoyafanya kama muumbaji na mwokozi wa dunia.
- Kumsifu Mungu kunajumuisha kumshukuru kwa aliyoyafanya.
- Muziki na kuimba hutumiwa kama njia ya kumsifu Mungu.
- Kumsifu Mungu ni sehemu ya kumwabudu.
- Neno "kusifu" yaweza kutafsiriwa kama "kusema mazuri" au "kusifia kwa maneno."