12 lines
462 B
Markdown
12 lines
462 B
Markdown
# Shimo
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Shimo ni sehemu yenye kina kwenda chini iliyochimbwa kwenye ardhi.
|
|
|
|
* Watu hichimba shimo kwa lengo la kuweka mtego wa wanyama au kutafuta maji.
|
|
* Shimo pia linaweza kutumika kama sehemu ya muda ya kumuweka mfungwa.
|
|
* Mara nyingine shimo linazungumzwa kama jehanamu.
|
|
* Neno shimo pia hutumika kama lugha ya pivha kuonesha "shimo la uharibifu" ambayo huelezea kutekwa katika hali mbaya au kujiingiza katika dhambi na matendo ya uharibifu.
|
|
|