462 B
462 B
Shimo
Ufafanuzi
Shimo ni sehemu yenye kina kwenda chini iliyochimbwa kwenye ardhi.
- Watu hichimba shimo kwa lengo la kuweka mtego wa wanyama au kutafuta maji.
- Shimo pia linaweza kutumika kama sehemu ya muda ya kumuweka mfungwa.
- Mara nyingine shimo linazungumzwa kama jehanamu.
- Neno shimo pia hutumika kama lugha ya pivha kuonesha "shimo la uharibifu" ambayo huelezea kutekwa katika hali mbaya au kujiingiza katika dhambi na matendo ya uharibifu.