11 lines
425 B
Markdown
11 lines
425 B
Markdown
# Uvumilivu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Uvumilivu ni kitendo cha kupita katika wakati mgumu na kuwa na subira.
|
|
|
|
* Mtu akiwa na uvumilivu kwa mtu fulani inamaana kuwa anampenda yule mtu na atamsamehe kosa lolote ambalo mtu yule atafanya.
|
|
* Biblia inawafundisha watu wa Mungu kuwa wavumilivu wanapopitia magumu na kuwavumilia watu pia.
|
|
* Kwa sababu ya rehema zake Mungu anawavumilia watu wake japokuwa ni wenye dhambi wanaostahili adhabu.
|
|
|