11 lines
361 B
Markdown
11 lines
361 B
Markdown
# Msamaha
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
"Msamaha" ni kusamehe au kutokumhukumu mtu kwa sababu ya dhambi zake.
|
|
|
|
* Neno hili pia linaweza kuwa na maana ya kutokuamua kumhukumu mtu kwa sababu ana makosa.
|
|
* Kwenye mahakama, hakimu anaweza kumsamehe mtu anayekutwa na hatia katika kosa.
|
|
* Japokuwa sisi tuna hatia ya dhambi Yesu alitusamehe toka kwenye hukumu kwa kufa msalabani.
|
|
|