361 B
361 B
Msamaha
Ufafanuzi
"Msamaha" ni kusamehe au kutokumhukumu mtu kwa sababu ya dhambi zake.
- Neno hili pia linaweza kuwa na maana ya kutokuamua kumhukumu mtu kwa sababu ana makosa.
- Kwenye mahakama, hakimu anaweza kumsamehe mtu anayekutwa na hatia katika kosa.
- Japokuwa sisi tuna hatia ya dhambi Yesu alitusamehe toka kwenye hukumu kwa kufa msalabani.