11 lines
395 B
Markdown
11 lines
395 B
Markdown
# mkuyu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Mkuyu ni mrefu, mti wa kivuli wenye shina kubwa na lenye matawi mapana.
|
|
|
|
* Mkuyu ina mbao ngumu iliyo tumika kutengeneza meli na kutengeneza majembe, na fimbo za kutembelea wazee.
|
|
* Shina la badhi ya mikuyu inaweza kuwa na mita 6.
|
|
* Miti ya mikuyu ilikuwa ni mfano wa maisha marefu na ilikuwa na maana zingine za kiroho. Katika Biblia, ilihusishwa na maeneo matakatifu.
|
|
|