10 lines
416 B
Markdown
10 lines
416 B
Markdown
# jirani
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Neno "jirani" mara kwa mara la mueleza mtu anaye ishi karibu. Pia yaweza kueleza kwa ujumla mtu anaye ishi katika jamii moja au kundi la watu.
|
|
|
|
* "Jirani" ni mtu atakaye lindwa na kutendewa vizuri kwasababu anaishi kwenye jamii moja.
|
|
* Katika Agano Jipya mfano wa Msamaria Mwema, Yesu alitumia "jirani" kifumbo, akitanua maana yake kumaanisha wanadamu wote, ata mtu anaye onekana kama adui.
|
|
|