619 B
619 B
kuzidisha
Ufafanuzi
neno "kuzidisha" lina maana ya kuongezeka kiidadi. Pia yaweza kusababisha kitu kuongezeka kwa kiasi, kama vile kuzidisha maumivu.
- Mungu aliwaambia wanyama na binadamu "kuongezeka" na kujaza dunia.
- Yesu alifanya mkate na samaki kuongezeka ili kulisha watu 5000. Kiasi cha chakula kiliendelea kuongezeka kiasi kwamba kulikuwa na chakula zaidi kumlisha kila mtu.
- Kulingana na muktadha, hili neno la weza tafsiriwa kama"ongeza"
- Neno "kuongeza maumivu yako sana" ya weza tafsiriwa kama "maumivu yako kuwa makali sana"
- "Kuzidisha farasi" ina maana ya "kuongeza farasi zaidi kwa tamaa"