11 lines
391 B
Markdown
11 lines
391 B
Markdown
# dhihaki
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Neno kudhihaki ni kumtania mtu, kwa namna mbaya.
|
|
|
|
* Kudhihaki mara kadha kuna husisha muingiza maneno ya watu au matendo kwa kusudi kuwaaibisha au kuonyesha kuchukizwa nao.
|
|
* Wanajeshi wa Kirumi walidhihaki Yesu walipo mvalisha joho na kujifanya kumheshimu kama mfalme.
|
|
* Kikundi cha vijana walimdhihaki Elisha walipo muita jina, wakimtania kichwa chake cha upara.
|
|
|