11 lines
354 B
Markdown
11 lines
354 B
Markdown
# sadaka ya mlo
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
"Sadaka ya mlo" ilikuwa dhabihu ya Mungu katika umbo la nafaka au mkate uliyo tengenezwa kwa unga.
|
|
|
|
* Neno "mlo" la husu nafaka iliyo sagwa kuwa unga
|
|
* Unga ulichanganywa na maji au mafuta kufanya mkate. Wakati mwingine mafuta yalisabazwa juu ya mkate.
|
|
* Aina hii ya sadaka kawaida iliwekwa pamoja na sadaka ya kuteketeza
|
|
|