10 lines
304 B
Markdown
10 lines
304 B
Markdown
# muamuzi, waamuzi
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Muamuzi ni afisa aliye teuliwa anaye kuwa kama hakimu anaye amua mambo ya sheria.
|
|
|
|
* Katika Biblia, muamuzi alitatua ugomvi baina ya watu.
|
|
* Kulingana na muktadha, namna ya kutafsiri hili neno ya weza kuwa, "hakimu anaye amua" au "afisa wa sheria" au "kiongozi wa mji"
|
|
|