muamuzi, waamuzi
Ufafanuzi
Muamuzi ni afisa aliye teuliwa anaye kuwa kama hakimu anaye amua mambo ya sheria.
- Katika Biblia, muamuzi alitatua ugomvi baina ya watu.
- Kulingana na muktadha, namna ya kutafsiri hili neno ya weza kuwa, "hakimu anaye amua" au "afisa wa sheria" au "kiongozi wa mji"