sw_tw/bible/other/leopard.md

347 B

chui

Ufafanuzi

Chui ni mnyama pori mkubwa kama paka, mwenye rangi ya kahawa na madoa meusi.

Chui ni aina ya mnyama anayeshika wanyama wengine na kuwala. Katika Biblia, ughafla wa maafa unalinganishwa na chui anaye shambulia mawindo yake ghafla. Nabii Danieli na mtume Yohana wanazungumzia maono ambayo waliona mnyama aliyefanana na chui.