sw_tw/bible/other/justify.md

475 B

kufanywa haki

Ufafanuzi

Usemi "kufanywa haki" inamaanisha kumfanya mtu mwenye hatia kuwa mwenye haki. Mungu pekee ndiye awezaye kuwafanya watu kuwa na haki.

Mungu anapowafanya haki watu, huwasamehe dhambi zao na kuwafanya kana kwamba hawana dhambi. Huwafanya haki watenda dhambi wanaotubu na kumuamini Yesu kuwaokoa kutoka dhambi zao. "kufanywa haki" inamaanisha kile Mungu anachofanya anaposamehe dhambi za mtu na kutamka kuwa mtu huyo ni mwenye haki machoni pake.