sw_tw/bible/other/horsemen.md

494 B

Mpanda farasi

Ufafanuzi

katika nyakati za Biblia, istilahi, ' mpanda farasi walikuwa ni wanaume ambao waliendesha farasi katika vita. Mashujaa walioendesha gari la kukokotwa na farasi waliitwa wapanda farasi, ingawa jina hili hurejelea watu ambao kiuhalisia huongoza farasi. Waisraeli waliamini kuwa kwa kutumia farasi katika vita ilitia mkazo katika nguvu zao kuliko kumtegemea Yahweh, hivyo hawakutumia wapanda farasi sana.. Neno hili laweza kutafsiriwa kama ' waendesha farasi