sw_tw/bible/other/hang.md

577 B

angika au nyonga

Ufafanuzi

Neno hili nyonga au angika lina maana ya ninginiza au tundika kitu au mtu. kifo cha kunyongwa au kujinyonga hufanyika kwa kutumia kamba ambayo mtu humfungwa shingoni na kumning'niza kwa kitu kilicho juu kama vile mti. Yuda alijiua mwenyewe kwa kujinyonga. Kifo cha Yesu kwa kuangikwa kwenye msalaba wa mbao kilifanyika kwa utofauti: askari walimtundika Yesu kwa kumpigilia misumali miguuni na mikononi katika msalaba. kuangika au kunyonga mtu mara zote ni njia ya kumwua mtu kwa kumnyonga kwa kutumia kamba inayofungwa shingoni mwa mtu.