15 lines
528 B
Markdown
15 lines
528 B
Markdown
# gumia
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Msemo "gumia" una maana ya kutoa sauti ya chini, nzito ambayo inasababishwa na mateso ya kihisia au kimwili. Mara kwa mara gumia hutengenezwa bila maneno.
|
|
|
|
Mtu anaweza kugumia kwa sababu ya kuhisi majonzi.
|
|
|
|
Kugumia inaweza kusababishwa kwa kujisikia vibaya, mzigo wa kundamiza.
|
|
|
|
Njia zingine za kutafsiri "gumia" zinaweza kujumuisha "kutoa sauti ya chini ya maumivu" au "kulia kwa kulalamika".
|
|
|
|
Kama nomino, hii inaweza kutafsiriwa kama "kilio cha chini cha mateso" au "mnung'uniko wa chini wa maumivu"
|
|
|