sw_tw/bible/other/groan.md

528 B

gumia

Ufafanuzi

Msemo "gumia" una maana ya kutoa sauti ya chini, nzito ambayo inasababishwa na mateso ya kihisia au kimwili. Mara kwa mara gumia hutengenezwa bila maneno.

Mtu anaweza kugumia kwa sababu ya kuhisi majonzi.

Kugumia inaweza kusababishwa kwa kujisikia vibaya, mzigo wa kundamiza.

Njia zingine za kutafsiri "gumia" zinaweza kujumuisha "kutoa sauti ya chini ya maumivu" au "kulia kwa kulalamika".

Kama nomino, hii inaweza kutafsiriwa kama "kilio cha chini cha mateso" au "mnung'uniko wa chini wa maumivu"