21 lines
953 B
Markdown
21 lines
953 B
Markdown
# mzawa wa kwanza
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Msemo "mzawa wa kwanza" una maana ya uzao wa watu au wanyama ambao huzaliwa kwanza, kabla ya wazawa wengine kuzaliwa. Mara kwa mara mzawa wa kwanza
|
|
|
|
Katika Biblia, "mzawa wa kwanza" humaanisha mzaliwa wa kiume ambaye anazaliwa.
|
|
|
|
Katika kipindi cha Biblia, mzawa wa kwanza wa kiume alipewa nafasi ya kujulikana na mara mbili ya urithi wa familia yake ya wana wengine.
|
|
|
|
Mara nyingi ilikuwa mzawa wa kwanza wa kiume wa mnyama ambaye alitolewa sadaka kwa Mungu.
|
|
|
|
Dhana hii inaweza kutumika kitamathali. Kwa mfano, taifa la Israeli linaitwa mzaliwa wa kwanza wa Mungu kwa sababu Mungu aliwapa faida maalumu kuliko mataifa mengine.
|
|
|
|
Yesu, Mwana wa Mungu anaitwa mzawa wa kwanza wa Mungu kwa sababu ya umuhimu wake na mamlaka juu ya kila mtu.
|
|
|
|
Mapendekezo ya Tafsiri
|
|
|
|
Pale ambapo "mzaliwa wa kwanza" inajitokeza katika maandishi pekee, inaweza kutafsiriwa kama "mzawa wa kiume wa kwanza" kwa maana ndiyo kile kinachokusudiwa.
|
|
|