sw_tw/bible/other/firstborn.md

953 B

mzawa wa kwanza

Ufafanuzi

Msemo "mzawa wa kwanza" una maana ya uzao wa watu au wanyama ambao huzaliwa kwanza, kabla ya wazawa wengine kuzaliwa. Mara kwa mara mzawa wa kwanza

Katika Biblia, "mzawa wa kwanza" humaanisha mzaliwa wa kiume ambaye anazaliwa.

Katika kipindi cha Biblia, mzawa wa kwanza wa kiume alipewa nafasi ya kujulikana na mara mbili ya urithi wa familia yake ya wana wengine.

Mara nyingi ilikuwa mzawa wa kwanza wa kiume wa mnyama ambaye alitolewa sadaka kwa Mungu.

Dhana hii inaweza kutumika kitamathali. Kwa mfano, taifa la Israeli linaitwa mzaliwa wa kwanza wa Mungu kwa sababu Mungu aliwapa faida maalumu kuliko mataifa mengine.

Yesu, Mwana wa Mungu anaitwa mzawa wa kwanza wa Mungu kwa sababu ya umuhimu wake na mamlaka juu ya kila mtu.

Mapendekezo ya Tafsiri

Pale ambapo "mzaliwa wa kwanza" inajitokeza katika maandishi pekee, inaweza kutafsiriwa kama "mzawa wa kiume wa kwanza" kwa maana ndiyo kile kinachokusudiwa.