17 lines
570 B
Markdown
17 lines
570 B
Markdown
# moto
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Moto ni joto, mwanga na miale ambayo hutokana pale kitu kinapochomwa.
|
|
|
|
Kuchoma mbao kwa moto hugeuza mbao kuwa majivu.
|
|
|
|
Msemo "moto" pia hutumika kitamathali, mara kwa mara kumaanisha hukumu au utakaso.
|
|
|
|
Hukumu ya mwisho ya wasioamini ipo katika moto wa jehanamu.
|
|
|
|
Moto hutumika kusafisha dhahabu na vyuma vingine. Katika Biblia, hatua hii hutumika kuelezea jinsi Mungu husafisha watu kupitia mambo magumu ambayo hutokea katika maisha yao.
|
|
|
|
Msemo "kuwabatiza kwa moto" unaweza kutafsiriwa kama "kukusababisha upitie mateso ili kwamba yakusafishe"
|
|
|