13 lines
539 B
Markdown
13 lines
539 B
Markdown
# meza
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Msemo wa "meza" una maana ya kula au kutumia kwa hali ya fujo.
|
|
|
|
Kutumia neno hili kwa hisi ya tamathali, Paulo anatahadharisha waumini kutojimeza wao kwa wao, akimaanisha kutojishambulia au kuangamizana wao kwa wao kwa maneno au matendo (Wagalitia 5:15).
|
|
|
|
Pia katika hisi ya tamathali, msemo "kumeza" mara kwa mara hutumika kwa maana ya "kuangamiza kabisa" kama kuzungumzia juu ya mataifa kumeza mengine au moto kumeza majengo na watu.
|
|
|
|
Msemo huu pia unaweza kutafsiriwa kama "kumeza kabisa" au "kuangamiza kabisa".
|
|
|