10 lines
390 B
Markdown
10 lines
390 B
Markdown
# Kiumbe
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kiumbe ni kila kitu kilicho hai ambacho Mungu alikiumba, binadamu na wanyama.
|
|
|
|
* Nabii Ezekieli anaelezea kuona "viumbe hai" katika maono ya utukufu wa Mungu. Hakujua ni nini hivyo akaviita hivyo.
|
|
* Tambua kuwa neno kiumbe ina maana tofauti na kwa kuwa inajumuisha kila kitu ambacho Mungu amekiumba vilivyo hai na visivyo hai. Kiumbe ni vitu vilivyo hai peke yake.
|
|
|